Pata Habari Motomoto za Nje na Ndani ya Nchi kwa njia ya E-mail, Andika E-mail yako hapo chini.


Ben Pol adai uhusiano wa miezi 9 na Latifa ni mrefu zaidi aliowahi kuwa nao tangu awe staa

Uhusiano na mshindi wa pili wa Miss Tanzania 2013, Latifa Mohamed wenye miezi tisa sasa, ndio uhusiano mrefu zaidi aliowahi kuwa nao Ben Pol tangu awe staa. Ben Pol ameiambia Bongo5 kuwa mahusiano yake yaliyopita yalishindwa kudumu kwakuwa wasichana wengi walikuwa na matarajio makubwa kutoka kwake kwakuwa yeye ni msanii. “Sasa hivi tuna miezi tisa, nadhani ndio the longest relationship,” amesema Ben kuhusu uhusiano na Latifa. “Unajua nimekutana na watu wa aina tofauti. Nimekutana na watu ambao labda wanakuwa na expectations kubwa zaidi kuhusu mtu fulani, kwahiyo akiingia kwenye maisha yako labda kuna vitu ambavyo yeye tayari alishapicture,...

Uzuri Wamponza Dada Huyu, Wenzake Wamuonea Wivu na Kumrarua Sura

WASICHANA ndugu wanaokadiriwa kuwa na umri wa miaka 16 na 18 wamemshambulia kwa visu binti mwenye miaka 15, kwa lengo la kumkomesha kwa sababu anasifiwa kuwa mzuri.  Katika tukio hilo la aina yake, ndugu hao walimvizia msichana huyo, Julia Alvarez(15), njiani wakati anakwenda nyumbani mjini Juan Domingo Peron kwenye jimbo la Formosa Kaskazini mwa Argentina. Kwa mujibu wa kauli za wasichana hao, walifanya unyama huo kwa kuwa hawakupenda kusikia sifa alizokuwa anapewa binti huyo kuwa ni mrembo sana. Mwathirika huyo, Alvarez alisema wakati anashambuliwa, wasichana hao walisema, walitaka kumharibu awe anatisha kama mcheza...

SERENGETI FIESTA 2014 YAFUNIKA DODOMA,TAZAMA PICHA HAPA

Msanii wa Bongo Fleva, Baba Levo akitumbuiza kwa staili yake kwenye jukwaa la Serengeti Fiesta 2014 Dodoma usiku wa kuamkia leo. Mo Music akitoa burudani kwa wakzi wa Dodoma waliyofulika kwenye Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 ndani ya Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma. Msanii zao la Serengeti Super Nyota G-Lucky akifanya makamuzi ndani ya uwanja wa Jamhuri Dodoma. Y-Tony akiwajibika kwenye tamasha la Serengeti Fiesta lililokuwa likifanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri Dodoma. Chipukizi wa Bongo Fleva, Baraka Da Prince akiwajibika jukwaani. Msanii zao la nyumba ya kukuza vipaji...

DIAMOND AFANYA MAKAMUZI YA NGUVU BIG BROTHER HOTSHOTS

Diamond Platnumz akifanya makamuzi ndani ya Big Brother Hotshots. STAA wa Bongo Fleva nchini Tanzania, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' usiku huu amefanya makamuzi ya nguvu katika uzinduzi wa shindano la Big Brother Hotshots unaofanyika jijini Johanessburg nchini Afrika Kusini. Katika shindano hilo, Tanzania inawakilishwa na watu wawili mrembo Irene 'La Veda' na Idriss. Jumla ya washiriki 26 kutoka mataifa 12 ya Afrika watachuana kwa siku 63 kutafuta mshindi atakayejinyakulia kitita cha dola za Kimarekani 300,000. ...

BIRTHDAY YA DIAMOND, BEATIFUL ONYINYE WEMA SEPETU AZUA GUMZO!..TAZAMA PICHA NA VIDEO YA KILICHOTOKEA

Stori: Waandishi Wetu NI Gumzo! Hiyo ndiyo kauli pekee inayoweza kuakisi pati ya kuzaliwa ya supastaa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ambaye ametimiza umri wa miaka 25, iliyofanyika usiku wa kuamikia jana kwenye Ukumbi wa Golden Jubilee Tower (PSPF), Posta jijini Dar, Risasi Jumamosi lilikuwepo ndani ya nyumba. Supastaa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na mpenzi wake, Wema Isaac Sepetu ‘Onyinye’. Ubavu wa Diamond, Wema Isaac Sepetu ‘Onyinye’ ndiye aliyekuwa gumzo katika sherehe hiyo baada ya watu wengi kuwa na shauku ya kuona kama atafika au la. Wengi walitaka kujua kama atafika, ataingia kwa staili...

Lulu Afunguka Ukaribu Wake na Kadinda..Fuatilia Alichosema Hapa

MTOTO mzuri Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefafanua ukaribu wake na Martin Kadinda kwa kudai ni rafiki yake wa karibu na hakuna cha ziada.Mtoto mzuri Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ akiwa na Martin Kadinda. Akipiga stori na paparazi wetu, Lulu alisema yeye na Kadinda ni marafiki wa kweli na amekuwa akiinjoi maisha yao kwa kushauriana masuala mbalimbali ya kimaisha tofauti na wengine wanavyojiongeza.Mtoto mzuri Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’. “Kadinda ni mtu wangu wa nguvu hakuna kingine zaidi ya urafiki wa kawaida, manenomaneno ni kawaida kwa wanadamu,” alisema Lul...

Hii Ndio Zawadi Aliyopewa Diamond Kwenye Birthday Yake, Kwa Taarifa yako Haikutoka Kwa Wema

Jana Ilikuwa Ni Siku ya Kuzaliwa ya Mwanamuziki Anaye Make Headlines Bongo na Nje ya Nchi Diamond Platnumz, Hakika wengi Walisubiri Kuona Mpenzi wake Wema Sepetu Atamzawadia Zawadi gani Kwa Vile Yeye Alizawadiwa gari na Diamond..So Wengi Tulisubiri kuona Atafanya nini ....Lakini Jana Zawadi kubwa iliyotolewa ilikuwa ni Gari Aina la BMW ambalo Diamond Alipewa Zawadi na Management Team yake ..Ikimaanisha kina Babu Tale....Mie Sikuwepo kwenye Party Hiyo kwa anayejua Wema Alitoa zawadi Gani Atujuze Basi Hapo Kwenye Comment....

Kiingereza cha Diamond,The Sporah Show na Kile Cha Shigongo, Straight Talk Africa

Well,inatia moyo kuona waswahili sasa tunaanza kuwa majasiri wa kufanya interview za kiingereza(JAPO BROKEN) na hasa ujasiri huo unapofikia hatua ya kufanya interview katika vipindi vya TV vinavoangaliwa na watu wengi duniani kote.So,jana tar.30/9 nilimsikiliza Diamond akiamua kuwa jasiri na kupima uwezo wake wa kukimudu kimombo pale alipofanya interview ya kimombo na Mrembo Sporah Njau wa The Sporah Show kinachorushwa Clouds TV kutokea London. Na wakati huu namsikiliza Eric Shigongo akifanya interview na presenter mahiri wa kipindi cha Straight Talk Africa,Prof Chaka Ssali wa The Voice of Africa.Nawapongeza kabisaaaaaa...

Batuli Afunguka Kuhusu Tetesi ya Yeye Kuvunja Uchumba wa Rose Ndauka

Stori: RHODA JOSIAH MSANII wa filamu Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ ameshangazwa na madai kuwa, anahusika kuvunjika kwa uchumba wa msanii mwenzake Rose Ndauka na kueleza kuwa hayo ni maneno ya watu wasiomtakia mema. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni kufuatia madai hayo, Batuli alisema hajawahi kuwa na uhusiano wowote na bwana wa Rose (Malick) na kwamba ukaribu wao ni wa kikazi tu. “Jamani siwezi kutoka na mchumba wa Rose kutokana na kwamba ni mtu ambaye namheshimu sana na tumekuwa tukifanya kazi na Rose bila matatizo yoyote. Hizi taarifa zinanishangaza na najua wanaozieneza hawanitakii mema,” alisema Batul...

Didas Fashion Amshukia Clouds 112 wa Bongo Movies , Asema Amelamba Ndimu na Kufunguka Mazito

Kupitia ukurasa wa Didasfacion wa Instagram Jana , Mwanadada huyu aishie UK ..Amefunguka Makubwa Kuhusu Bongo Movies hususan Muingizaji Clouds 112...Jisomee Mwenyewe Hapo chini: "Hahahaha @eshasbuheti na wewe umejitoa kwa ajili yangu kama @stevenyerere2 au?. Mungu huyu analipa hapa duniani. ... Nina mengi ya kuongea alafu mie huwa siongei kwa maneno naongea na evidence. Nina dhambi za mtu natembea nazo na siku kichaa kikinipanda nitazimwaga hadharani, watu wataacha midomo wazi. Watu wanavaa majoho ya mungu kujifanya wema. Na hapo ndio mtajua kwanini movie yangu ya Mateso Yangu Ughaibuni sijaitoa mpaka leo. Nilinyamaza, ila subirini...

Dada wa Diamond Esma Atoa Mipasho Kupitia Instagram Wiki Mbili tu Baada ya Kuolewa

Dada wa Mwanamuziki Diamond Anayejiita Esma Plainum Ambae Ameolewa Hivi Karibuni na Petit Man Amepost Video Kwenye Instagram Page yake Huku Akitoa Mipasho ya Taarabu yenye Kuwananga Wanao Ona Wivu Juu Yake Kuolewa...Baadhi ya Maneno yanasikika Akiimba 'Mwaona Donge la Nini Kama Mnaweza Pandani Juu mkazibe' Je Kunani Tena ?  Jionee Mwenyewe Hapa: ((bofya hapa))...

HIZI NDIZO PICHA ZA AWALI ZA KILICHOJIRI KWENYE BIRTHDAY YA DIAMOND - ZIANGALIE HAPA

...

AIBU! MKE, MUME WAZICHAPA WAFUNGA MTAA

Hii ni aibu kubwa! Njemba mmoja aliyefahamika kwa jina la Zeno na mkewe Mwajuma Mtata, wakazi wa mtaa Mrefu,  Kigogo-Luhanga jijini Dar wamenaswa wakiangusha bonge la timbwili barabarani na kusababisha umati wa watu kujikusanya eneo hilo kujionea ‘sinema’ ya bure. Timbwili zito likianza kati ya njemba mmoja anayefahamika kwa jina la Zeno na mkewe Mwajuma Mtata. Tukio hilo lililofananishwa na muvi ya kivita lilitokea usiku wa Jumanne iliyopita ambapo chanzo kimedaiwa kuwa ni mwanamke huyo kutelekeza jikoni kitoweo cha maini ya mbuzi na kwenda baa kupata kilaji. TUJIUNGE NA CHANZO Kwa mujibu wa chanzo makini, siku ya tukio, Zeno...
Pages (11)1234567 »
 

Copyright © 2013. BONGO STARS LINK - Haki zote zimehifadhiwa
Template Modify by Habarizetuleo TEAM
Proudly powered by MAN DUGX