Pata Habari Motomoto za Nje na Ndani ya Nchi kwa njia ya E-mail, Andika E-mail yako hapo chini.


Home » » AIBUU..! MKE WA MTUATIA AIBU BAADA YA KUVUA NGUO ZOTE MBELE ZA WATU KATIKA KIGODORO

AIBUU..! MKE WA MTUATIA AIBU BAADA YA KUVUA NGUO ZOTE MBELE ZA WATU KATIKA KIGODORO


 
Wakati serikali ikipiga marufuku disko la mitaani maarufu kwa jina la ‘Vigodoro’ bado kuna baadhi ya mikoa inapuuza agizo hilo ambapo mwanamke mmoja ambaye mumewe anafanya kazi kwenye mgahawa uliopo ofisi za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Morogoro, aliyetajwa kwa jina la Mama Abdul (pichani), amejitoa fahamu kupitia Kigodoro na kujikuta akisaula nguo hadharani.

Tukio hilo lililoshuhudiwa na Udaku Specially lilijiri juzikati, majira ya mchana kwenye kigodoro mbele ya watoto waliopokea ekaristi takatifu katika Kanisa la Mtakatifu Monica lililopo maeneo ya Kihonda mkoani hapa.

0 comments :

Post a Comment

 

Copyright © 2013. BONGO STARS LINK - Haki zote zimehifadhiwa
Template Modify by Habarizetuleo TEAM
Proudly powered by MAN DUGX