Pata Habari Motomoto za Nje na Ndani ya Nchi kwa njia ya E-mail, Andika E-mail yako hapo chini.


Showing posts with label kimataifa. Show all posts
Showing posts with label kimataifa. Show all posts

Picha: Beyonce apata shida baada ya nguo kufunguka na kuacha kifua chote wazi akiwa jukwaani


Beyonce Knowles alipata tatizo la aina yake alipowasapraiz mashabiki wake kwa kuungana jukwaani na mumewe Jay Z ghafla katika Global Citizen Festival iliyofanyika wikendi iliyopita. 
 
Akiwa katika harakati za kuimba na kucheza, ghafla top yake nyeupe ilifunguka na kifua chake kubaki wazi huku ‘maziwa’ yakitoka nje ya bra iliyokuwa na rangi ya ngozi yake.

Hata hivyo, kitendo hicho kilifanyika ndani ya sekunde chache kiasi kwamba mashabiki waliokuwa wanashangweka hawakukishtukia hadi pale video ya show hiyo ilipotoka na wana habari wakacapture picha na hivi sasa imesambaa.
 
Katika hatua nyingine, Beyonce alionekana akiwa na pete ya ndoa kwenye jukwaa hilo hivyo kuzidi kuwaonesha watu kuwa ndoa yao iko imara tofauti na tetesi zisizokoma juu ya uhusiano wao.

Big Brother Africa 2014: Picha na Video zote za washiriki wakioga, wakicheza ziko hapa


Ni  siku  6  tu  zimesalia  kabla  ya  shindano  la  Big Brother Africa  kuanza  ambapo  Mshindi  wake  ataondoka na  Dolla  300,000.

Usikubali  kupitwa  na  tukio  lolote  kutoka  ndani  ya  jumba  hilo. Picha, Video, Live  Updates, Video  zao  Wakioga  na  Mengine  Mengi  yatakuwa  yakiruka  mtandaoni  moja  kwa  moja  kupitia  site  yako  pendwa  ya 

www.bigbrotherafricans.com  << BOFYA  HAPA>>
 
Bado  hujachelewa, LIKE  ukurasa  wa  Facebook kupata  kila  tukio  kwa  wakati. 
 
Ku  LIKE  ukurasa  wa  facebook << BOFYA  HAPA>> 

Ingia  hapo  juu  ujiunge  na  ukurasa  wa  facebook  wa  Big Brother Africa

Video: Marekani yatoa video inayoonesha mashambulizi ya anga dhidi ya ISIS nchini Syria

Makao Makuu ya Ulinzi, Pentagon Marekani imetoa kipande cha video inayoonesha jinsi walivyotekeleza na kufanikisha mashambulizi ya kwanza nchini Syria dhidi ya kundi linalojiita Islamic State Of Syria and Iraq (ISIS).

September 23 jeshi la Marekani lilitekeleza mashambulizi ya anga katika makao makuu ya kundi hilo Ar Raqqah, Syria.

Marekani na washirika wake wamelenga kushambulia na kutokomeza kundi hilo linalotekeleza mauaji na kuwachinja raia wa Marekani na Uingereza huku wakionesha katika vipande vya video.

Wanamgambo wa Islamic State Wametoa Video Nyingine inayomuonyesha Mwandishi wa Wingereza Waliomteka

Wanamgambo wa islamic state wametoa video nyingine inayomuonyesha mwandishi wa uingereza John Cantlie aliyekuwa ametekwa nyara.

Cantlie akiongea katika video hiyo ya dakika sita amesema alikuwa ametelekezwa na serikali yake na kwamba nchi za Magharibi zilikuwa zimepuuza uwezo wa wanamgambo wa IS.
Cantlie alitekwa huko syria mwaka 2012 ,na video yake inafanana na ile iliyotolewa wiki chache zilizopita ambapo alisema alikuwa ni mmoja wa wafungwa katika kundi.
IS tayari imeua mateka watatu wa nchi za magharibi na wamenuia kuua waingereza wanaofanya kazi ya kutoa misaada wanaowashikilia mateka.

MATEKA MWINGINE AKATWA KICHWA NA KUNDI LA HIMAYA YA KIISLAM


 
Serikali ya Uingereza imesema kuwa inachukua hatua za dharura ili kubaini ukweli wa kanda ya video inayoonyesha mateka wa Uingereza David Haines aliyetekwa nyara na kundi la himaya ya kiislamu akikatwa kichwa.

Mfanyikazi huyo wa misaada aliyekamatwa nchini Syria mnamo mwezi Machi mwaka jana ameonyeshwa akipiga magoti katika jangwa, kando yake akiwa ni mtu aliyeficha uso wake ambaye amebeba kisu.

Atakuwa mateka wa tatu wa magharibi kukatwa kichwa katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita.

katika kanda hiyo ya Video mtu aliyeshika kisu anaonekana akishtumu mataifa yanayounga mkono Marekani,naye Haines ambaye anaonekana kuwa chini ya shinikizo anaonekana akimlaumu waziri mkuu nchini Uingereza David Cameron kwa hatma yake.

Mwisho wa kanda hiyo mateka wa pili wa Uingereza anaonyeshwa na kutishiwa.

Wakati huohuo Waziri mkuu nchini Uingereza David Cameron ameshtumu kukatwa kichwa kwa David Haines kama kitendo cha kishetani.

Amesema kuwa wauaji watakamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria ata iwapo itachukua mda mrefu.

Katika taarifa yake rais Obama pia ameshtumu mauaji ya kikatili ya David Haines.

Amesema Marekani inaomboleza na Uingereza kifo cha mateka huyo na kungezea kuwa itashirikiana na muungano mkubwa wa kimataifa ili kuwakamata washukiwa mbali na kuharibu tishio hilo kwa ulimwengu.

Wanahabari wawili Steven Sotlof na james Foley waliuawa na wapiganaji hao mwezi uliopita.

MAYWEATHER AMCHAPA TENA MAIDANA



Floyd Mayweather (kushoto) akimtupia konde mpinzani wake Marcos Maidana.



Maidana akijibu mashambulizi wakati wa pambano hilo.



Mayweather akiwasili katika Ukumbi wa MGM Grand Garden jijini Las Vegas kwa pambano hilo.

Bondia Floyd Mayweather amemchapa tena mpinzani wake Marcos Maidana katika mpambano wao uliopigwa kwenye Ukumbi wa MGM Grand Garden jijini Las Vegas, Marekani na kumalizika hivi punde.

BAADA YA KUUNGUA, JUMBA JIPYA LA BIG BROTHER LAPATIKANA, TAREHE YA UZINDUZI YATAJWA


 
M-Net and Endemol South Africa are delighted to confirm that a new Big Brother house has been found and is located in Johannesburg, South Africa following the devastating fire that demolished the original house on September 2.

The search was concluded after exploring all possible options both locally and internationally, for a suitable venue to produce the 9th season of Africa's biggest reality show.

M-Net and Endemol SA are pleased to announce that Big Brother Hotshots will officially launch on Sunday, October 5 at 19:00 CAT.

As they countdown to the launch, fans across the continent can look forward to some pleasant surprises in true Biggie fashion.

The producers wish to thank fans far and wide for all the patience and continuous support over the past few days.

OSCAR PISTORIUS HATIANI KWA KUUA BILA KUKUSUDIA

Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius.
MWANARIADHA mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius, amepatikana na hatia ya kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp kwa bahati mbaya.

Oscar Pistorius akisikiliza hukumu yake.
Akitoa uamuzi wake, Jaji Thokozile Masipaa alisema kuwa mwanariadha huyo alimuua Reeva kwa bahati mbaya alipofyatua risasi kupitia kwa mlango wake wa choo akiwa katika hali ya mshtuko akidhani kuwa jambazi alikuwa amevamia nyumba yake.

Baba mzazi wa Oscar, Henke Pistorius akifuatilia kwa makini hukumu ya kijana wake.
Alisema kuwa upande wa mashitaka umeshindwa kuthibitisha kuwa Pistorius alinuia kumuua Steenkamp na kutekeleza mauaji hayo kwa kusudi.

Wanafamilia kutoka uoande wa marehemu Reeva wakiwa na simanzi wakati wa hukumu hiyo.
Pia alipatikana na hatia ya kosa la kutumia silaha yake visivyo alipokwenda mgahawani.
Adhabu yake itatolewa Oktoba 13 mwaka huu.
Jaji Thokozile Masipa alisema kuwa mwanariadha huyo alimuua Reeva kwa bahati mbaya.
Dada wa Pistorius, Aimee (katikati) akisikiliza hukumu ya kaka yake.
(CREDIT: BBC)

KESI YA MWANARIADHA OSCAR PISTORIUS, JAJI ASEMA HANA ATIA KATIKA MASHTAKA YA KUUA BILA KUKUSUDIA



Hatimaye Jaji Thokozile Masipa ametoa maamuzi juu ya kesi iliyokuwa inamkabili mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius na kutupilia mbali madai kuwa aliua kwa kukusudia.

Baada ya muda mrefu na mgumu wa muenendo wa kesi hiyo, jaji huyo ameamuru kuwa Pistorious hana hatia katika mashtaka yote yaliyokuwa yanamkabili.

Jaji Masipa ameeleza kuwa upande wa mashitaka umeshindwa kuthibitisha kuwa Oscar alimuua mpenzi wake kwa kukusudia baada ya kuwepo ugomvi kati yao.

Hata hivyo, jaji Masipa ameeleza kuwa ameridhishwa na maelezo ya upande wa mashitaka kuwa Oscar Pistorius alikuwa na uwezo wa kutambua mabaya na mema wakati wa tukio hilo.

Huenda mwanariadha huyo akafunguliwa shitaka la kuua bila kukusudia baada ya kuyavuka mashitaka yaliyowasilishwa mahakamani hapo.

Oscar Pistorius alimuua kwa kumpiga risasi mpenzi wake Reeva Steenkamp katika siku ya wapendanao mwaka 2013. Lakini katika utetezi wake aliiambia mahakama kuwa alimpiga risasi kimakosa akidhani ni mtu aliyevamia katika nyumba yao usiku ule.
 

Copyright © 2013. BONGO STARS LINK - Haki zote zimehifadhiwa
Template Modify by Habarizetuleo TEAM
Proudly powered by MAN DUGX