Nyimbo mbili za Alikiba zimefanikiwa
kuongoza kama nyimbo zinazopakuliwa kwa wingi katika tovuti ya
Mkito.com. Wimbo uliotokea kupendwa zaidi wa Mwana ulipanda hadi nafasi
ya kwanza ndani ya masaa 12 baada ya kuzinduliwa Julai 24 mwaka huu.
Mpaka sasa “Mwana” ya Alikiba imeendelea kuwa wimbo uliopakuliwa zaidi
tangu kuanzishwa kwa Mkito.com mwezi Mei mwaka huu, Wengine Wanaofanya
Vizuri ni Fid Q, Vanessa Mdee na Diamond.
Home
»
bongofleva
»
MSANII ALIKIBA AVUNJA REKODI YA DOWNLOADS KWENYE MTANDAO WA MIKITO.COM
0 comments :
Post a Comment