Warembo wanaoshiriki shindano la Redd's Miss Tanzania 2014 leo
wameingia siku ya pili ya kambi yao jijini Dar es Salaam na baada ya
semina asubuhi na mapumziko ya mchana jioni hii wamefanya mazoezi katika
chumba maalum cha mazoezi 'Gym', ungana na mpigapicha wa Father Kidevu
Blog katika picha mbalimbali za warembo hao katika kambi yao.
0 comments :
Post a Comment