Pata Habari Motomoto za Nje na Ndani ya Nchi kwa njia ya E-mail, Andika E-mail yako hapo chini.


Home » » UPDATE:MATUKIO PICHA, MSIKITI WA MTAMBANI KINONDONI WAUNGUA TENA

UPDATE:MATUKIO PICHA, MSIKITI WA MTAMBANI KINONDONI WAUNGUA TENA



Wananchi wakisaidiana kuokoa mali za Msikiti wa Mtambani mara baada ya kushika moto uliowahi kuzimwa.



Kikosi cha zimamoto kikiwa eneo la tukio kutoa msaada.



Ulinzi ukiwa umeimarishwa eneo hilo la tukio.

(PICHA ZOTE NA DAR ES SALAAM YETU BLOG)



(Picha hii ni wakati msikiti huo ulipoungua mara ya kwanza Agosti 13, mwaka huu)

MSIKITI wa Mtambani uliyopo Kinondoni jijini Dar es Salaam umeungua tena kwa moto leo mchana. Hii ni mara ya pili msikiti huo kuungua kwa moto baada ya ile ya awali ya Agosti 13 mwaka huu. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, chanzo cha moto huo ni hitilafu ya umeme.

0 comments :

Post a Comment

 

Copyright © 2013. BONGO STARS LINK - Haki zote zimehifadhiwa
Template Modify by Habarizetuleo TEAM
Proudly powered by MAN DUGX