Pata Habari Motomoto za Nje na Ndani ya Nchi kwa njia ya E-mail, Andika E-mail yako hapo chini.


Home » » Kilichomtokea huyu simba wakati akijaribu kumla Kiboko, jionee mwenyewe tu [video]

Kilichomtokea huyu simba wakati akijaribu kumla Kiboko, jionee mwenyewe tu [video]


Mnyama anapokufa, vitu vilivyopo tumboni huwa vya kwanza kuanza kuoza na kusababisha mkusanyiko wa gesi. Wingi wa gesi hiyo mara nyingi husababisha mzoga kuvimba, kama gesi haina njia ya kutoka nje. Mpasuko wa mzoga huo husababisha “mlipuko” kutokana na shinikizo (pressure) linalosababishwa na mkusanyiko wa gesi. Na hicho ndio kilichotokea wakati Simba huyu akijaribu kula mzoga wa kiboko.

0 comments :

Post a Comment

 

Copyright © 2013. BONGO STARS LINK - Haki zote zimehifadhiwa
Template Modify by Habarizetuleo TEAM
Proudly powered by MAN DUGX