Pata Habari Motomoto za Nje na Ndani ya Nchi kwa njia ya E-mail, Andika E-mail yako hapo chini.


Home » » MAYWEATHER AMCHAPA TENA MAIDANA

MAYWEATHER AMCHAPA TENA MAIDANA



Floyd Mayweather (kushoto) akimtupia konde mpinzani wake Marcos Maidana.



Maidana akijibu mashambulizi wakati wa pambano hilo.



Mayweather akiwasili katika Ukumbi wa MGM Grand Garden jijini Las Vegas kwa pambano hilo.

Bondia Floyd Mayweather amemchapa tena mpinzani wake Marcos Maidana katika mpambano wao uliopigwa kwenye Ukumbi wa MGM Grand Garden jijini Las Vegas, Marekani na kumalizika hivi punde.

0 comments :

Post a Comment

 

Copyright © 2013. BONGO STARS LINK - Haki zote zimehifadhiwa
Template Modify by Habarizetuleo TEAM
Proudly powered by MAN DUGX