Pata Habari Motomoto za Nje na Ndani ya Nchi kwa njia ya E-mail, Andika E-mail yako hapo chini.


Home » » FIESTA YAWAPAGAWISHA WAKAZI WA SONGEA

FIESTA YAWAPAGAWISHA WAKAZI WA SONGEA


Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Recho akifanya makamuzi kwenye Tamasha la Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo katika Uwanja wa majimaji, Songea.
Recho akiwajibika yake jukwaani.
Mashabiki waliojitokeza katika Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 Songea.
Msanii wa Bongo Fleva, Linah Sanga akiwa amekumbatiwa na shabiki wake.
Msanii wa Bongo Fleva, Linah Sanga akicheza na mmoja ya shabiki wake Ole Themba.
Mashabiki wakiendelea kupagawa na burudani.
Msanii wa Bongo Fleva, Mo music akitoa burudani kwa wakazi wa Songea.

0 comments :

Post a Comment

 

Copyright © 2013. BONGO STARS LINK - Haki zote zimehifadhiwa
Template Modify by Habarizetuleo TEAM
Proudly powered by MAN DUGX